Warombo
From Wikipedia, the free encyclopedia
Warombo ni watu wa mkoa wa Kilimanjaro, jamii ya Wachagga.
![]() | Makala haina vyanzo vya kutosha
Makala (au sehemu ifuatayo ya makala) inatoa habari bila kuonyesha vyanzo au uthibitisho wowote.
|
Lugha zao ni Kiseri na lahaja nyingine za Kichagga, yenye asili ya Kibantu[1]. Warombo wameenea mkoa wote na hutambuana kwa kuelewana katika mazungumzo.
Warombo wanajishugulisha na kilimo, ufugaji, biashara na kazi za ofisini.