![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/3/38/Tutanchamun_Maske.jpg/640px-Tutanchamun_Maske.jpg&w=640&q=50)
Tutankhamun
From Wikipedia, the free encyclopedia
Tutankhamun (pia: Tutankhaten, Tutankhamen) alikuwa farao wa Misri ya Kale. [1] Alitawala tangu alipokuwa na umri wa miaka tisa (1334 KK) hadi alipofariki dunia (1323 KK). Alikuwa farao wa nasaba ya 18 (familia ya kifalme) wakati wa Ufalme Mpya.
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/3/38/Tutanchamun_Maske.jpg/320px-Tutanchamun_Maske.jpg)
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/4/40/Egypt.KV62.01.jpg/320px-Egypt.KV62.01.jpg)
Yeye ni mashuhuri kwa sababu kaburi lake ni kaburi pekee kati ya makaburi yote ya kifalme ya Misri ya Kale lililohifadhiwa bila kuporwa mali hadi karne ya 20.