![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/5/5f/Bouak%25C3%25A9_Department_locator_map_C%25C3%25B4te_d%2527Ivoire.jpg/640px-Bouak%25C3%25A9_Department_locator_map_C%25C3%25B4te_d%2527Ivoire.jpg&w=640&q=50)
Tarafa ya Bouaké
From Wikipedia, the free encyclopedia
Tarafa ya Bouaké (kwa Kifaransa: département de Bouaké) ni moja kati ya tarafa nne za Mkoa wa Gbêkê ulioko katikati mwa Cote d'Ivoire.
auto
Ukweli wa haraka Nchi, Wilaya ...
Tarafa ya Bouaké | |
![]() |
|
Imara: 2011 | |
Nchi | ![]() |
---|---|
Wilaya | Vallée du Bandama |
Mkoa | Gbêkê |
Serikali[1] | |
- Prefect | Konin Aka |
Idadi ya wakazi (2014) | |
- Wakazi kwa ujumla | 680,694 |
GMT | (UTC+0) |
Funga
Mwaka 2014 idadi ya wakazi ilikuwa 680,694.
Makao makuu ya eneo hilo ni Bouaké.
Tarafa ya Bouaké sasa imegawanywa katika kata zifuatazo:
- Bouaké-SP
- Bouaké-Ville
- Bounda
- Brobo
- Mamini
- N'Djébonouan..