Tanganyika (maana)
ukarasa wa maana wa Wikimedia / From Wikipedia, the free encyclopedia
Tanganyika inaweza kumaanisha
- Tanganyika (nchi) ni jina la kihistoria kwa ajili ya Tanzania bara pamoja na visiwa vya Mafia na Kilwa.
- Wilaya ya Tanganyika iliyopo katika Mkoa wa Katavi, Tanzania (zamani iliitwa Wilaya ya Mpanda Vijijini)
- Tanganyika, Kongo ni jina la wilaya ya Tanganyika katika Mkoa wa Katanga wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, ufukoni mwa Ziwa la Tanganyika.
- Tanganyika (Muheza) ni kata ya Wilaya ya Muheza, Mkoa wa Tanga, Tanzania.
![]() |
Ukurasa huu una maelezo ya maana ili kutofautisha nia mbalimbali zinazolengwa na neno moja. Kwa usaidizi kuhusu makala za aina hii tazama Msaada:Maana
Maelezo katika ukurasa huu yawe mafupi, na kwa kila maana kuwe na kiungo kimoja tu ambacho kiunge ukurasa kuhusu nia yenye maana hii. Ukiwa umefika hapa kwa kutumia kiungo katika makala nyingine, tafadhali badalisha kiungo kile kiunge makala iliyokusudiwa moja kwa moja. |