![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/a/a7/Tanzania_Katavi_location_map.svg/langsw-640px-Tanzania_Katavi_location_map.svg.png&w=640&q=50)
Mkoa wa Katavi
From Wikipedia, the free encyclopedia
Mkoa wa Katavi ni mmojawapo kati ya mikoa 31 ya Tanzania wenye postikodi namba 50000. Ulianzishwa rasmi mnamo Machi 2012 kwa kumega mkoa wa Rukwa.
Ukweli wa haraka Nchi, Kanda ...
Mkoa wa Katavi | |
![]() |
|
Nchi | Tanzania |
---|---|
Kanda | Nyanda za Juu ua Kusini |
Serikali | |
- Mkuu wa Mkoa | Rajab Mtumwa |
Eneo | |
- Jumla | 45,843 km² |
Idadi ya wakazi (2022) | |
- Wakazi kwa ujumla | 1,152,958 |
EAT | (UTC+3) |
Msimbo wa posta | 50xxx |
Kodi ya simu | 025 |
Tovuti: katavi.go.tz |
Funga
Makao makuu yako Mpanda.