Tabora (mji)
From Wikipedia, the free encyclopedia
Tabora ni mji wa kihistoria wa Tanzania ya Kati na makao makuu ya mkoa wa Tabora wenye postikodi namba 45100. Eneo lake ni manisipaa yenye hadhi ya wilaya.
Ukweli wa haraka Nchi, Mkoa ...
Tabora | |
Mahali pa mji wa Tabora katika Tanzania |
|
Majiranukta: 5°0′36″S 32°49′12″E | |
Nchi | Tanzania |
---|---|
Mkoa | Tabora |
Wilaya | Tabora |
Idadi ya wakazi | |
- Wakazi kwa ujumla | 308,741 |
Funga
Mwaka 2012 palikuwa na wakazi 226,999. Katika sensa ya mwaka 2022 walihesabiwa 308,741 [1].