Sunna (pia sunnah, kutoka Kiarabu : سنة, neno linalomaanisha "mila", "mapokeo" au "njia". [1]) Kwa Waislamu, Sunnah inamaanisha "njia ya mtume Muhammad"[2].

Ukweli wa haraka
Sehemu ya mfululizo wa makala juu ya

Uislamu

Imani na ibada zake

Umoja wa Mungu
Manabii
Misahafu
Malaika
Uteule
Kiyama
Nguzo za Kiislamu
Shahada Swala Saumu
Hija Zaka

Waislamu muhimu

Muhammad

Abu Bakr Ali
Ukoo wa Muhammad
Maswahaba wa Muhammad
Mitume na Manabii katika Uislamu

Maandiko na Sheria

Qur'an Sunnah Hadithi
Wasifu wa Muhammad
Sharia
Elimu ya Sheria za Kiislamu Kalam

Historia ya Uislamu

Historia
Sunni Shi'a Kharijiya Rashidun Ukhalifa Maimamu

Tamaduni za Kiislamu

Shule Madrasa
Tauhidi Falsafa Maadili
Sayansi
Sanaa Ujenzi Miji
Kalenda Sikukuu
Wanawake
Viongozi Siasa
Uchumi
Umma Itikadi mpya Sufii

Tazama pia

Uislamu na dini nyingine
Hofu ya Uislamu

Funga
Thumb
Sunan Abi Daud ni mkusaniko wa hadith za Mtume Muhammad ambazo ni msingi wa kuamulia sunna yake

Wasomi Waislamu wanajifunza juu ya Sunna kwa kusoma hadithi elfu kadhaa juu ya Muhammad, familia yake, na wafuasi wake wa kwanza. Haditho hizi zinaitwa Hadith.

Jina la dhehebu kubwa katika Uislamu ni Wasunni, nalo limetokana na neno sunna, kwa maana ni waumini wanaolenga kufuata sunna ya mtume wao.

Marejeo

Viungo vya Nje

Wikiwand in your browser!

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.

Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.