![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/0/0b/Tanzania_Sumbawanga_Mjini_location_map.svg/langsw-640px-Tanzania_Sumbawanga_Mjini_location_map.svg.png&w=640&q=50)
Sumbawanga Mjini
From Wikipedia, the free encyclopedia
Sumbawanga Mjini ni wilaya mojawapo kati ya 4 za Mkoa wa Rukwa, nchini Tanzania.
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/0/0b/Tanzania_Sumbawanga_Mjini_location_map.svg/250px-Tanzania_Sumbawanga_Mjini_location_map.svg.png)
Katika sensa ya mwaka 2002, idadi ya wakazi wa wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa 147,483 [1]. Katika sensa ya mwaka 2022 walihesabiwa 303,986 [2].