Spektra
From Wikipedia, the free encyclopedia
Spektra (kutoka Kilatini wingi wa spectrum, ono, kinachoonekana; pia: taswirangi[1]) ni ufuatano wa jumla ya mawimbi sumakuumeme yote yenye urefu wa wimbi au masafa tofauti.
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/9/95/Nuru_katika_spektra_1.jpg/640px-Nuru_katika_spektra_1.jpg)
Spektra (kutoka Kilatini wingi wa spectrum, ono, kinachoonekana; pia: taswirangi[1]) ni ufuatano wa jumla ya mawimbi sumakuumeme yote yenye urefu wa wimbi au masafa tofauti.