Shorobo uzuri
From Wikipedia, the free encyclopedia
Shorobo uzuri (Musophaga rossae) ni ndege wa Afrika wa rangi ya buluu wa familia ya Musophagidae.
Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi ...
Shorobo uzuri | ||||||||||||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
Picha ya Shorobo uzuri | ||||||||||||||||
Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||||||||
| ||||||||||||||||
Funga
Spishi hii hupatikana katika nchi za Angola, Botswana, Burundi, Cameroon, Jamhuri ya Afrika ya Kati, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Gabon, Kenya, Rwanda, Sudan, Tanzania, Uganda na Zambia.
Ndege hawa hupatikana sana wakifugwa.