![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/8/87/St_cecilia_guido_reni.jpg/640px-St_cecilia_guido_reni.jpg&w=640&q=50)
Sesilia
From Wikipedia, the free encyclopedia
Sesilia (kwa Kilatini Caecilia) alikuwa mwanamke Mkristo wa mjini Roma katika karne ya 2 na ya 3 BK.
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/8/87/St_cecilia_guido_reni.jpg/320px-St_cecilia_guido_reni.jpg)
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/8/89/CeciliaValerianTiburtius.jpg/640px-CeciliaValerianTiburtius.jpg)
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/8/8a/Domenichino_Santa_Cecilia.jpg/640px-Domenichino_Santa_Cecilia.jpg)
Anaheshimiwa kama mtakatifu bikira mfiadini na somo wa wanamuziki kwa sababu inasimuliwa kwamba hao walipokuwa wakiimba kwenye arusi yake, mwenyewe "alikuwa akimuimbia Bwana moyoni".[1][2][3]
Sikukuu yake inaadhimishwa na madhehebu mbalimbali tarehe 22 Novemba.[4][5][6]