Serapioni wa Antiokia alikuwa Patriarki wa mji huo wa Siria (leo nchini Uturuki) miaka 191211.

Thumb
Mt. Serapioni wa Antiokia katika kanisa la Mt. Antoni Abati (Valencia, Hispania).

Maarufu kwa elimu na mafundisho yake, aliacha kumbukumbu sawia kwa utakatifu wake [1]

Anajulikana hasa kutokana na maandishi yake bora kuhusu teolojia yaliyoripotiwa na Eusebi wa Kaisarea.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 30 Oktoba.[2][3]

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Wikiwand in your browser!

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.

Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.