![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/6/60/Recife_poster.png/640px-Recife_poster.png&w=640&q=50)
Recife
From Wikipedia, the free encyclopedia
Recife ni jina la mji mkuu wa jimbo la Pernambuco katika Brazil. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mnamo mwaka wa 2009, mji una wakazi wapatao milioni 1.6 wanaoishi katika mji huu. Mji upo m 10 kutoka juu ya usawa wa bahari.
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/6/60/Recife_poster.png/640px-Recife_poster.png)
Ukweli wa haraka Nchi, Kanda ...
Recife | |||
| |||
Majiranukta: 8°03′00″S 34°54′00″W | |||
Nchi | Brazil | ||
---|---|---|---|
Kanda | Northeast | ||
Jimbo | Pernambuco | ||
Idadi ya wakazi | |||
- Wakazi kwa ujumla | 1,591,659 | ||
Tovuti: www.recife.pe.gov.br |
Funga