Punda ni wanyama wakubwa kiasi wa nusujenasi Asinus ya jenasi Equus katika familia Equidae wafananao na farasi mdogo. Spishi moja (Equus kiang), ambayo inatokea Asia, huitwa kiang'. Punda anayejulikana sana ni yule anayefugwa (Punda-kaya), lakini kuna punda porini pia. Watu huwatumia punda wafugwao kwa kubeba mizigo, kuvuta magari au kuwarakibu. Punda wanaweza kuzaliana na farasi lakini watoto wao (baghala au nyumbu) hawazai tena kwa kawaida.
Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi, Ngazi za chini ...
Punda |
Punda-kaya katika Hifadhi ya Taifa ya Amboseli |
Uainishaji wa kisayansi |
Himaya: |
Animalia (Wanyama)
|
Faila: |
Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
|
Ngeli: |
Mamalia (Wanyama wenye viwele wanaonyonyesha wadogo wao)
|
Oda: |
Perissodactyla (Wanyama wenye kidole kimoja au vitatu miguuni)
|
Familia: |
Equidae (Wanyama walio na mnasaba na farasi)
|
Jenasi: |
Equus (Farasi na punda) Linnaeus, 1758 |
Nusujenasi: |
Asinus
|
|
Ngazi za chini |
Spishi 3, nususpishi 12:
- E. africanus Heuglin & Fitzinger, 1866
- E. a. africanus Heuglin & Fitzinger, 1866
- †E. a. atlanticus P. Thomas, 1884
- E. a. somalicus Noack, 1884
- E. asinus Linnaeus, 1758
- E. hemionus Pallas, 1775
- E. h. hemionus Pallas, 1775
- †E. h. hemippus Geoffroy Saint-Hilaire, 1855
- E. h. khur Lesson, 1827
- E. h. kulan Groves & Mazák, 1967
- E. h. onager Boddaert, 1785
- E. kiang Moorcroft, 1841
- E. k. chu Moorcroft, 1841
- E. k. holdereri Groombridge, 1994
- E. k. kiang Moorcroft, 1841
- E. k. polyodon Hodgson, 1847
|
Funga