Farasi
mamalia wa miguu minne kutoka kwa familia ya equine / From Wikipedia, the free encyclopedia
Kwa habari kuhusu nyota angalia Farasi (kundinyota)
Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi, Ngazi za chini ...
Farasi | ||||||||||||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
Farasi | ||||||||||||||||
Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||||||||
| ||||||||||||||||
Ngazi za chini | ||||||||||||||||
Nususpishi 3:
| ||||||||||||||||
Funga
Farasi (kutoka neno la Kiarabu فرس, faras) ni mnyama mkubwa katika ngeli ya mamalia. Wamefugwa na binadamu kwa maelfu ya miaka iliyopita. Matumizi yao ni kubeba watu au mizigo au kufanya kazi ya kuvuta magari na plau. Wamefugwa pia kwa ajili ya nyama na maziwa yao.