From Wikipedia, the free encyclopedia
Porto Velho ni mji mkuu wa jimbo la Rondônia katika Brazil. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2008, kuna wakazi wapatao 380,000 wanaoishi katika mji huo. Mji upo m 85 kutoka juu ya usawa wa bahari.
Porto Velho | |||
| |||
Majiranukta: 8°45′43″S 63°54′14″W | |||
Nchi | Brazil | ||
---|---|---|---|
Kanda | North | ||
Jimbo | Rondônia | ||
Idadi ya wakazi | |||
- Wakazi kwa ujumla | 379,186 | ||
Tovuti: www.portovelho.ro.gov.br |
Porto Velho ni mji wa bandari uliopo kwenye Mto Madeira. Wakati wa miezi ya mvua usawa wa maji hupanda juu, na meli kutoka Atlantiki hufikia Porto Velho.
Makala hii kuhusu maeneo ya Brazil bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Porto Velho kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.