Omani
From Wikipedia, the free encyclopedia
Usultani wa Omani (kwa Kiarabu:سلطنة عُمان Saltanat ˤUmān) ni nchi ya Bara Arabu katika Asia ya Magharibi.
Ukweli wa haraka
| |||||
Kaulimbiu ya taifa: (hakuna) | |||||
Wimbo wa taifa: Nashid as-Salaam as-Sultani | |||||
Mji mkuu | Maskat 23°61′ N 58°54′ E | ||||
Mji mkubwa nchini | Muskat | ||||
Lugha rasmi | Kiarabu | ||||
Serikali Sultani |
Ufalme Haitham bin Tariq Al Said | ||||
{{{sovereignty_type}}} Waosmani kufukuzwa |
1741 | ||||
Eneo - Jumla - Maji (%) |
309,500 km² (ya 70) (kidogo sana) | ||||
Idadi ya watu - Julai 2019 kadirio - 2010 sensa - Msongamano wa watu |
4,975,0001 (ya 129) 2,773,479 13/km² (ya 216) | ||||
Fedha | Rial (OMR ) | ||||
Saa za eneo - Kiangazi (DST) |
(UTC+4) (UTC+4) | ||||
Intaneti TLD | .om | ||||
Kodi ya simu | +968
- | ||||
1Ndani ya idadi ya wakazi kuna watu 577,293 wasio raia |
Funga
Imepakana na Maungano ya Falme za Kiarabu, Saudia na Yemen, halafu Bahari Hindi na Ghuba ya Omani.
Utawala wa nchi hufuata muundo wa kifalme usiobanwa na masharti ya katiba.