Timu ya Kimarekani ya mpira wa kikapu yenye makao yake Oklahoma City, Marekani From Wikipedia, the free encyclopedia
Oklahoma City Thunder ni timu ya kulipwa ya mpira wa kikapu kutoka mjini Oklahoma City, Oklahoma. Wanachezea katika Chama cha Mpira wa Kikapu nchini Marekani. Vinara wao waliopo kwa sasa ni pamoja na Chris Paul. Timu ilianzishwa mnamo mwaka wa 1967.
Oklahoma City Thunder | |
Ukanda | Western Conference |
Daraja | Northwest Division |
Imeanzishwa | 1967 |
Historia | Seattle SuperSonics (1967–2008) Oklahoma City Thunder (2008–) |
Uwanja | Ford Center |
Mji | Oklahoma City, Oklahoma |
Rangi ya timu | Orange, Navy Blue, Blue, Gold, White |
Mmiliki | Professional Basketball Club LLC (Clay Bennett, Chairman) |
Meneja mkuu | Sam Presti |
Kocha mkuu | Billy Donovan |
D-League affiliate | Tulsa 66ers |
Ubingwa | 1 (1979) |
Mataji ya ukanda | 3 (1978, 1979, 1996) |
Mataji ya daraja | 6 (1979, 1994, 1996,
1997, 1998, 2005) |
Tovuti rasmi | nba.com/oklahomacity |
Makala hii kuhusu mambo ya michezo bado ni mbegu. Je, unajua kitu zaidi kuhusu Oklahoma City Thunder kama historia yake, uenezi au kanuni zake? Labda unaona katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine habari zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.