![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/3/37/Copulating_desert_locust_pair.jpg/640px-Copulating_desert_locust_pair.jpg&w=640&q=50)
Nzige-jangwa
From Wikipedia, the free encyclopedia
Nzige-jangwa ni wadudu wa kundi la panzi katika familia Acrididae wa oda Orthoptera ambao wanaishi jangwani kwa kawaida. Lakini wakiwa wengi sana hujikusanya katika makundi makubwa na kusafiri mbali ndefu hata nje ya jangwa. Tauni za nzige-jangwa wametishia uzalishaji wa kilimo katika Afrika, Mashariki ya Kati na Asia kwa karne nyingi. Riziki za angalau moja ya kumi ya idadi ya watu duniani yanaweza kuathiriwa na wadudu hao walafi.
Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi ...
Nzige-jangwa | ||||||||||||||||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
![]() Jike na dume wa nzige-jangwa wakipandana | ||||||||||||||||||||
Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||||||||||||
| ||||||||||||||||||||
Funga