![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/b/b4/Flag_of_Turkey.svg/langsw-640px-Flag_of_Turkey.svg.png&w=640&q=50)
Nyota na hilali
From Wikipedia, the free encyclopedia
Nyota na hilali ni ishara yenye historia ndefu inayochukuliwa leo mara nyingi kama ishara ya Uislamu [1]. Hii inatokana na matumizi yake katika bendera za Milki ya Osmani tangu karne ya 19[2]. Lakini historia yake ni ndefu na Waosmani waliipokea tayari kutoka milki ya Kikristo ya Bizanti.
Umbo la kisasa la Nyota na Hilali kwenye bendera ya Uturuki
Sarafu ya Milki ya Sasani wakati wa karne ya 3 BK, iliyotolewa na Ardashir III.
Matumizi ya nyota na hilali katika Bizanti wakati wa karne ya kwanza KK.