Nicky Byrne
From Wikipedia, the free encyclopedia
Nicholas Bernard James Adam Byrne (amezaliwa tar. 9 Oktoba 1978 mjini Dublin) ni msanii wa muziki wa pop kutoka nchini Ireland. yeye ni mwanamuziki mkongwe zaidi katika kundi la Westlife la huko nchini Ireland.
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/6/6a/Nicky_Byrne_2009.jpg/220px-Nicky_Byrne_2009.jpg)
Ukweli wa haraka Jina la kuzaliwa, Amezaliwa ...
Nicky Byrne | |
---|---|
Jina la kuzaliwa | Nicholas Bernard James Adam Byrne |
Amezaliwa | 9 Oktoba 1978 (1978-10-09) (umri 45) Dublin, Ireland |
Aina ya muziki | Pop |
Kazi yake | Mwimbaji, mtunzi wa nyimbo |
Aina ya sauti | Tenor |
Miaka ya kazi | 1998–mpaka sasa |
Ame/Wameshirikiana na | Westlife |
Funga