Dublin
From Wikipedia, the free encyclopedia
Dublin (Kieire pia: Baile Átha Cliath = "Kijiji kwenye kivuko kwa mafunjo") ni mji mkuu wa Jamhuri ya Eire pia mji mkuu kwenye kisiwa cha Eire mwenye wakazi milioni 1.6 kwenye rundiko la jiji.
Ukweli wa haraka Nchi, Mkoa ...
Jiji la Dublin | |
Majiranukta: 53°19′48″N 6°15′0″W | |
Nchi | Eire |
---|---|
Mkoa | Leinster |
Wilaya | Dublin |
Idadi ya wakazi | |
- Wakazi kwa ujumla | 505,739 |
Tovuti: www.dublincity.ie |
Funga
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/d/dc/Dublin_city_coa.png/60px-Dublin_city_coa.png)