From Wikipedia, the free encyclopedia
Nguzo tano za Uislamu (kwa Kiarabu: أركان الإسلام arkan al-islam, pia أركان الدين arkan ad-din yaani nguzo za dini) ni ibada au matendo yanayoaminiwa kuwa ya kimsingi katika Uislamu. Zimepata hadhi maalumu kwa sababu zinatajwa katika "hadith ya Jibril". Kwenye masimulizi ya hadith ile malaika Jibril alimwuliza Mtume Muhammad "Uislamu ni nini?" na huyu alijibu kwa kutaja matendo matano yafuatayo.
Sehemu ya mfululizo wa makala juu ya |
Imani na ibada zake |
Umoja wa Mungu |
Waislamu muhimu |
Abu Bakr • Ali |
Maandiko na Sheria |
Qur'an • Sunnah • Hadithi |
Historia ya Uislamu |
Historia |
Tamaduni za Kiislamu |
Shule • Madrasa |
Tazama pia |
Uislamu na dini nyingine |
Kwa kawaida hizi nguzo tano zinafundishwa katika madhehebu ya Wasunni jinsi inavyoonyeshwa hapo chini.
Washia hawahesabu shahada kati ya nguzo tano wakiona shahada pamoja na imani ya Kiislamu ni msingi wa nguzo tano, halafu wanaongeza "wilayat" yaani kukubali uongozi wa Maimamu kama nguzo ya tano.
Makala hii kuhusu mambo ya dini bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu mada hii kama historia yake au uenezi wake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.