![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/b/b2/Synodontis-grandiops-MW-003b.jpg/640px-Synodontis-grandiops-MW-003b.jpg&w=640&q=50)
Ngogo
From Wikipedia, the free encyclopedia
Ngogo, gogo, kolokolo au ngonje ni samaki wa maji baridi wa jenasi Synodontis katika familia Mochokidae na oda Siluriformes ambao wanatokea Afrika tu. Jenasi hii ina spishi 131. Kwa Kiingereza huitwa squeakers kwa sababu wakati wanapokasirika au kutishwa wanatoa vilio vyembamba wakichua miiba pamoja.
Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi, Ngazi za chini ...
Ngogo | ||||||||||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
![]() Ngogo macho-makubwa (Synodontis grandiops) | ||||||||||||||
Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||||||
| ||||||||||||||
Ngazi za chini | ||||||||||||||
Spishi 131, 26 katika Afrika ya Mashariki:
| ||||||||||||||
Funga