Nabii Baruku
From Wikipedia, the free encyclopedia
Nabii Baruku mwana wa Neria (kwa Kiebrania ברוך בן נריה) alikuwa mwandishi wa karne ya 6 KK, maarufu kama karani, mwanafunzi na rafiki mpendwa wa nabii Yeremia.
Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu na madhehebu mbalimbali ya Ukristo.