![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/a/ad/Anker_Der_Gemeindeschreiber.jpg/640px-Anker_Der_Gemeindeschreiber.jpg&w=640&q=50)
Karani
From Wikipedia, the free encyclopedia
Karani (kutoka neno la Kiarabu قرا kusoma[1]) ni mtu ambaye hufanya kazi za ofisini katika taasisi za serikali au kampuni au mwajiri mwingine yeyote.
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/a/ad/Anker_Der_Gemeindeschreiber.jpg/640px-Anker_Der_Gemeindeschreiber.jpg)
Wajibu wa karani ni pamoja na utunzaji wa kumbukumbu na majukumu mengine ya kusaidia utawala. [2]