Mwele
From Wikipedia, the free encyclopedia
Mwele au mlezi ni aina ya nafaka ulio na asili yake katika Afrika. Sikuhizi hupandwa mahali pengi katika kanda kavu za dunia. Mbegu zake zinaitwa mawele au malezi.
Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi ...
Mwele (Pennisetum glaucum) | ||||||||||||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
Miwele | ||||||||||||||||
Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||||||||
|
Funga