Ulezi
From Wikipedia, the free encyclopedia
From Wikipedia, the free encyclopedia
Ulezi ni mbegu ya mlezi au mwele, aina ya nafaka ambayo hulimwa katika sehemu zenye hali ya ukame, hasa katika Ulimwengu wa Tatu.
Unga wake hutumika kutengenezea ugali, uji na kadhalika, hasa kwa wagonjwa.
Pia unatumika kama chachu kutengeneza aina mbalimbali za pombe.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.