![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/4/46/Kausi_Sagittarius.png/640px-Kausi_Sagittarius.png&w=640&q=50)
Mshale (kundinyota)
From Wikipedia, the free encyclopedia
Kwa habari za sayari (wakati mwingine kwa kosa huitwa pia "Kausi") angalia hapa Neptuni; kwa matumizi mengine ya jina "Sagittarius" angalia hapa Sagittarius
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/4/46/Kausi_Sagittarius.png/640px-Kausi_Sagittarius.png)
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/7/7e/Sidney_Hall_-_Urania%27s_Mirror_-_Sagittarius_and_Corona_Australis%2C_Microscopium%2C_and_Telescopium.png/640px-Sidney_Hall_-_Urania%27s_Mirror_-_Sagittarius_and_Corona_Australis%2C_Microscopium%2C_and_Telescopium.png)
Mshale (pia Kausi, kwa Kilatini/Kiingereza: Sagittarius[1]) ni jina la kundinyota kwenye zodiaki.
Nyota za Mshale huwa haziko pamoja kihalisi lakini zinaonekana tu vile kutoka duniani. Kwa uhalisi kuna umbali mkubwa kati yao, kama ziko mbali au jirani nasi. Kwa hiyo kundinyota "Mshale" linaonyesha eneo la angani jinsi tunavyoiona kutoka Duniani.