Mlango wa Hudson unaunganisha Bahari ya Atlantiki na Ghuba ya Hudson huko Kanada. Uko kati ya Kisiwa cha Baffin na pwani ya kaskazini ya Quebec. Urefu wake ni km 720 mile 450 (km 720), upana wake huwa kati ya km 240 hadi km 54. [1] [2]
Njia hii ya bahari iligunduliwa na nahodha Mwingereza Henry Hudson mnamo mwaka wa 1609 alipotafuta mapito ya kaskazini-magharibi yaani njia mbadala ya kufika kwenye Bahari Pasifiki.
Marejeo
Wikiwand in your browser!
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.