Mkwaju
From Wikipedia, the free encyclopedia
Mkwaju, msisi au makombe (jina la kisayansi: Tamarindus indica) ni mti mkubwa wa familia Fabaceae ambao asili yake ni Afrika Mashariki na India.
Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi ...
Mkwaju (Tamarindus indica) | ||||||||||||||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
Mkwaju porini | ||||||||||||||||||
Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||||||||||
|
Funga
Tunda lake huitwa ukwaju ambalo lina umbo jembamba, rangi ya kijani likiwa bichi au ya kaki linapoiva na lina nyama gwadu ilikayo hasa kama kiungo katika vyakula na vinywaji.