![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/5/53/C%25C3%25B4te_d%2527Ivoire_-_Vall%25C3%25A9e_du_Bandama.svg/langsw-640px-C%25C3%25B4te_d%2527Ivoire_-_Vall%25C3%25A9e_du_Bandama.svg.png&w=640&q=50)
Mkoa wa Vallée du Bandama
From Wikipedia, the free encyclopedia
Mkoa wa Vallée du Bandama (kwa Kifaransa: Région de la Vallée du Bandama) ni moja kati ya mikoa 19 ya huko nchini Cote d'Ivoire, kabla ya 2011. Iko katika kitovu cha nchi. Mwaka 1998 idadi ya wakazi ilikuwa watu 1.080.432. [1]
Ukweli wa haraka Nchi, Wilaya ...
Mkoa wa Vallée du Bandama |
|
![]() |
|
Majiranukta: 8°15′N 4°50′W | |
Nchi | ![]() |
---|---|
Wilaya | 7 |
Mji mkuu | Bouaké |
Eneo | |
- Jumla | 28.200 km² |
Idadi ya wakazi (1998) | |
- Wakazi kwa ujumla | 1.080.432 |
GMT | (UTC+0) |
Funga
Kuna tarafa saba ambazo ni
Makao makuu yako Bouaké.