![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/c/c7/T2_road_Tanzania_Dar-Tanga.jpg/640px-T2_road_Tanzania_Dar-Tanga.jpg&w=640&q=50)
Mkoa wa Pwani
From Wikipedia, the free encyclopedia
Mkoa wa Pwani ni kati ya mikoa 31 ya Tanzania wenye postikodi namba 61000.
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/c/c7/T2_road_Tanzania_Dar-Tanga.jpg/640px-T2_road_Tanzania_Dar-Tanga.jpg)
Kwa mkoa wa zamani wa Kenya, tazama Mkoa wa Pwani (Kenya).
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/a/a5/Tanzania_Pwani_location_map.svg/640px-Tanzania_Pwani_location_map.svg.png)
Mkoa umepakana upande wa Kaskazini na Tanga, upande wa mashariki na Dar-es-Salaam na Bahari Hindi, upande wa kusini na mkoa wa Lindi na upande wa magharibi na mkoa wa Morogoro.
Makao makuu ya mkoa yako Kibaha.