From Wikipedia, the free encyclopedia
Mkoa wa Poro (kwa Kifaransa: Région du Poro) ni moja kati ya mikoa 31 ya nchini Cote d'Ivoire.
auto
Mkoa wa Poro | |
Mahali pa Mkoa wa Poro (kijani) katika Cote d'Ivoire za Jimbo la Savanes |
|
Nchi | Cote d'Ivoire |
---|---|
Jimbo | Savanes |
Serikali[1] | |
- Prefect | Daouda Ouattara |
- Rais wa Baraza | Coulibaly Tiémoko Yadé |
Eneo[2] | |
- Jumla | 13.400 km² |
Idadi ya wakazi (2014) | |
- Wakazi kwa ujumla | 763,852 |
GMT | (UTC+0) |
Uko katika Kaskazini ya nchi. Makao makuu ya eneo hilo ni Korhogo. Mwaka 2014 idadi ya wakazi ilikuwa watu 763,852.
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.