![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/d/d2/Montagem_de_Lisboa.png/640px-Montagem_de_Lisboa.png&w=640&q=50)
Lisbon
From Wikipedia, the free encyclopedia
Lisbona (kwa Kireno: Lisboa) ni mji mkuu wa Ureno, pia mji mkubwa wa nchi wenye wakazi 560,000; pamoja na rundiko la mji ni milioni mbili.
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/d/d2/Montagem_de_Lisboa.png/320px-Montagem_de_Lisboa.png)
Ukweli wa haraka Nchi, Mkoa ...
Lisbon | |||
| |||
Majiranukta: 38°42′00″N 09°08′00″E | |||
Nchi | Ureno | ||
---|---|---|---|
Mkoa | Mkoa wa Lisbon | ||
Idadi ya wakazi | |||
- Wakazi kwa ujumla | 564,477 | ||
Tovuti: http://www.cm-lisboa.pt/ |
Funga
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/c/c0/Po-map.png/320px-Po-map.png)
Mji uko kando ya mto Tejo kwenye kona ya kusini-magharibi ya Ulaya mwambaoni kwa Atlantiki.