From Wikipedia, the free encyclopedia
Mkoa wa Indénié-Djuablin (kwa Kifaransa: Région de l’ Indénié-Djuablin) ni moja kati ya mikoa 31 ya nchini Cote d'Ivoire.
auto
Mkoa wa Indénié-Djuablin | |
Mahali pa Mkoa wa Indénié-Djuablin (kijani) katika Cote d'Ivoire za Jimbo la Comoé |
|
Nchi | Cote d'Ivoire |
---|---|
Jimbo | Comoé |
Serikali[1] | |
- Prefect | Fadi Ouattara, |
- Rais wa Baraza | Abinan Kouakou Pascal |
Eneo[2] | |
- Jumla | 8,000 km² |
Idadi ya wakazi (2014) | |
- Wakazi kwa ujumla | 560,432 |
GMT | (UTC+0) |
Uko katika Mashariki ya nchi. Makao makuu ya eneo hilo ni Abengourou. Mwaka 2014 idadi ya wakazi ilikuwa watu 560,432.
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.