![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/a/a2/Ind%25C3%25A9ni%25C3%25A9-Djuablin_region_locator_map_C%25C3%25B4te_d%2527Ivoire.jpg/640px-Ind%25C3%25A9ni%25C3%25A9-Djuablin_region_locator_map_C%25C3%25B4te_d%2527Ivoire.jpg&w=640&q=50)
Mkoa wa Indénié-Djuablin
From Wikipedia, the free encyclopedia
Mkoa wa Indénié-Djuablin (kwa Kifaransa: Région de l’ Indénié-Djuablin) ni moja kati ya mikoa 31 ya nchini Cote d'Ivoire.
auto
Ukweli wa haraka Nchi, Jimbo ...
Mkoa wa Indénié-Djuablin | |
![]() katika Cote d'Ivoire za Jimbo la Comoé |
|
Nchi | ![]() |
---|---|
Jimbo | Comoé |
Serikali[1] | |
- Prefect | Fadi Ouattara, |
- Rais wa Baraza | Abinan Kouakou Pascal |
Eneo[2] | |
- Jumla | 8,000 km² |
Idadi ya wakazi (2014) | |
- Wakazi kwa ujumla | 560,432 |
GMT | (UTC+0) |
Funga
Uko katika Mashariki ya nchi. Makao makuu ya eneo hilo ni Abengourou. Mwaka 2014 idadi ya wakazi ilikuwa watu 560,432.