Mchai (Camellia sinensis) ni kichaka ambacho majani, na pengine matawi, yake hutumika kutengeneza chai. Spishi hii inatoka Asia ya Mashariki, ya Kusini-Mashariki na ya Kusini, lakini sikuhizi hupandwa mahali pengi pa kanda tropiki na nusutropiki.
Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi ...
Mchai (Camellia sinensis) |
Majani ya mchai |
Uainishaji wa kisayansi |
Himaya: |
Plantae (Mimea)
|
(bila tabaka): |
Angiospermae (Mimea inayotoa maua)
|
(bila tabaka): |
Eudicots (Mimea ambayo mche wao una majani mawili)
|
(bila tabaka): |
Asterids (Mimea kama alizeti)
|
Oda: |
Ericales (Mimea kama mdambi)
|
Familia: |
Theaceae (Mimea iliyo na mnasaba na mchai)
|
Jenasi: |
Camellia L. |
Spishi: |
C. sinensis (L.) Kuntze |
Visawe: |
- C. angustifolia Hung T. Chang
- C. arborescens Hung T. Chang & F. L. Yu
- C. assamica (J. W. Masters) Hung T. Chang
- C. dehungensis Hung T. Chang & B. H. Chen
- C. dishiensis F. C. Zhang et al.
- C. longlingensis F. C. Zhang et al.
- C. multisepala Hung T. Chang & Y. J. Tang
- C. oleosa (Loureiro) Rehder
- C. parvisepala Hung T. Chang.
- C. parvisepaloides Hung T. Chang & H. S. Wang.
- C. polyneura Hung T. Chang &
- C. thea Link
- C. theifera Griffith
- C. waldeniae S. Y. Hu
- Thea assamica J. W. Masters
- Thea bohea L.
- Thea cantonensis Loureiro
- Thea chinensis Sims
- Thea cochinchinensis Loureiro
- Thea grandifolia Salisbury
- Thea olearia Loureiro ex Gomes
- Thea oleosa Loureiro
- Thea parvifolia Salisbury (1796), not Hayata (1913);
- Thea sinensis L.
- Thea viridis L.
- Theaphylla cantonensis (Loureiro) Rafinesque
|
|
Funga