![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/7/7d/Aeroport_Aime_Cesaire.jpg/640px-Aeroport_Aime_Cesaire.jpg&w=640&q=50)
Martinique
département ya Ufaransa / From Wikipedia, the free encyclopedia
Martinique (kwa Kifaransa; kwa Krioli: "Matinik" au "Matnik") ni kisiwa cha Antili Ndogo katika Bahari ya Karibi. Ni eneo la ng'ambo la Ufaransa na mkoa (departement) wa Ufaransa. Hivyo ni sehemu ya Umoja wa Ulaya.
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/7/7d/Aeroport_Aime_Cesaire.jpg/640px-Aeroport_Aime_Cesaire.jpg)
Ukweli wa haraka Nchi, Mji mkuu ...
Martinique | |||
| |||
Nchi | ![]() |
||
---|---|---|---|
Mji mkuu | Fort-de-France | ||
Eneo | |||
- Jumla | 1,128 km² | ||
Idadi ya wakazi (2016) | |||
- Wakazi kwa ujumla | 376,480 | ||
Tovuti: http://www.cr-martinique.fr/ |
Funga
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/f/fd/Martinique-Map.png)
Eneo lake ni km² 1,128.
Makao makuu ni Fort-de-France. Miji mingine ni pamoja na Sainte-Anne na St. Pierre (iliyoharibiwa na mlipuko wa volkeno ya Mont Pelee mwaka 1902).