![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/9/91/Popepiusix.jpg/640px-Popepiusix.jpg&w=640&q=50)
Papa
From Wikipedia, the free encyclopedia
Papa (neno la mkopo kutoka Kilatini lakini lenye asili ya Kigiriki, πάππας, pappas,[1] jina ambalo mtoto anamuitia baba yake)[2]ni cheo cha kiongozi mkuu wa Kanisa Katoliki duniani kote. Cheo hicho kinategemea kile cha askofu wa Roma.[3]
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/9/91/Popepiusix.jpg/320px-Popepiusix.jpg)
Maelezo zaidi Imani, Muundo ...
Funga