Makari Mkuu
From Wikipedia, the free encyclopedia
Makari Mkuu (300 hivi - 391) alikuwa mkaapweke na padri wa Misri.
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/c/c5/Saint_Macarius_the_Egyptian.jpg)
Tangu kale anaheshimiwa na Waorthodoksi wa Mashariki, Waorthodoksi na Wakatoliki kama mtakatifu.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 15 Januari, 19 Januari[1] na 4 Aprili kadiri ya madhehebu.