From Wikipedia, the free encyclopedia
Lebuino (kwa Kilatini Lebuinus; awali: Lebuin, Lebwin au Liafwin[e]; alifariki Deventer, Frisia, leo nchini Uholanzi, 775 hivi) alikuwa mmonaki Mbenedikto kutoka Northumbria (Uingereza) maarufu kwa umisionari wake kama padri katika Uholanzi na Ujerumani za leo akitangaza amani na wokovu katika Kristo kuanzia mwaka 754 hadi kifo chake[1][2].
Anaheshimiwa tangu zamani na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Sikukuu yake huadhimishwa katika tarehe 12 Novemba[3].
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.