Kuriakose Elias Chavara
From Wikipedia, the free encyclopedia
Kuriakose Elias Chavara (10 Februari 1805 - 3 Januari 1871) alikuwa padri wa Kanisa Katoliki la Kisiria la Malabar nchini India.
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/5/5a/Kuriakose_Chavara_und_Hl._Familie.jpg/220px-Kuriakose_Chavara_und_Hl._Familie.jpg)
Alianzisha mashirika ya kitawa, moja kwa ajili ya wanaume na lingine kwa ajili ya wanawake.
Papa Yohane Paulo II alimtangaza kuwa mwenye heri tarehe 8 Februari 1986, halafu Papa Fransisko akamtangaza mtakatifu tarehe 23 Novemba 2014.