Kuro ni spishi ya kawaida zaidi ya jenasi Kobus katika familia Bovidae. Spishi nyingine za jenasi hii zinaitwa lechwe, mraye na sheshe. Spishi zote zinatokea karibu na maji na hutorokea maji wakitishwa na mnyama mbua. Rangi ya spishi nyingi ni ya mchanga lakini rangi ya kuro na spishi nyingine kadhaa ni kahawia hadi kijivu au nyeusi. Mara nyingi kuna rangi ya nyeupe kuzunguka macho na pua na matako. Wanyama hawa hula nyasi.
Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi, Ngazi za chini ...
Kuro |
Dume la kuro ndogoro (Kobus e. ellipsiprymnus) |
Uainishaji wa kisayansi |
Himaya: |
Animalia (Wanyama)
|
Faila: |
Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
|
Ngeli: |
Mamalia (Wanyana wenye viwele wanaonyonyesha wadogo wao)
|
Oda: |
Artiodactyla (Wanyama wenye vidole viwili au vinne mguuni)
|
Nusuoda: |
Ruminantia (Wanyama wanaocheua)
|
Familia: |
Bovidae (Wanyama walio na mnasaba na ng'ombe) Gray, 1821 |
Nusufamilia: |
Reduncinae (Wanyama wanaofanana na tohe) Meyer, 1907 |
Jenasi: |
Kobus (Kuro) A. Smith, 1840 |
|
Ngazi za chini |
Spishi 6, nususpishi 11:
- K. anselli Cotterill, 2005
- K. ellipsiprymnus (Ogilby, 1833)
- K. e. defassa (Rüppel, 1835)
- K. e. ellipsiprymnus (Ogilby]], 1833
- K. kob (Erxleben, 1777)
- K. k. kob (Erxleben, 1777)
- K. k. leucotis (Lichtenstein & Peters, 1853)
- K. kob thomasi (Sclater, 1896)
- K. leche Gray, 1850
- K. l. kafuensis Haltenorth, 1963
- K. l. leche Gray, 1850
- K. l. robertsi Rothschild, 1907
- K. leche smithemani Lydekker, 1900
- K. megaceros (Fitzinger, 1855)
- K. vardonii (Livingstone, 1857)
- K. v. senganus (Sclater & Thomas, 1897)
- K. vardonii (Livingstone, 1857)
|
Funga