Kinengenenge
Ndege wadogo wa familia Zosteropidae / From Wikipedia, the free encyclopedia
Vinengenenge au manja ni ndege wadogo wa familia Zosteropidae. Wana rangi ya zeituni mgongoni na ya kijivu chini na mara nyingi rangi ya manjano na nyeupe pia, pengine nyekundu. Takriban spishi zote zina doa la mviringo kuzunguka macho. Domo lao ni jembamba lenye ncha kali na ulimi ni kama brashi ili kula mbochi. Vinengenenge hula wadudu hasa lakini mbochi na matunda pia. Hulijenga tago lao mtini na jike huyataga mayai buluu 2-4.
Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi, Ngazi za chini ...
Kinengenenge | ||||||||||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
Kinengenenge wa Madagaska | ||||||||||||||
Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||||||
| ||||||||||||||
Ngazi za chini | ||||||||||||||
Jenasi 14:
| ||||||||||||||
Funga