![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/3/38/Overview_lakenakuru.jpg/640px-Overview_lakenakuru.jpg&w=640&q=50)
Kaunti ya Nakuru
From Wikipedia, the free encyclopedia
Kaunti ya Nakuru ni mojawapo ya kaunti za Kenya zilizopo baada ya katiba mpya ya Jamhuri ya Kenya kupatikana mwaka 2010.
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/3/38/Overview_lakenakuru.jpg/640px-Overview_lakenakuru.jpg)
Wakati wa sensa ya mwaka 2019 wakazi walikuwa 2,162,202 katika eneo la km2 7,462.4, msongamano ukiwa hivyo wa watu 290 kwa kilometa mraba[1].
Makao makuu yako Nakuru.