![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/5/5e/Kalimantan2.png/640px-Kalimantan2.png&w=640&q=50)
Kalimantan
From Wikipedia, the free encyclopedia
Kalimantan (inajulikana pia kwa jina la Borneo ya Indonesia) ni sehemu kubwa ya kisiwa cha Borneo iliyopo Indonesia.[1] Sehemu hii ni asilimia 73 za eneo lote la kisiwa hicho. Sehemu nyingine zisizo za Indonesia ni Brunei na Malaysia ya Mashariki.
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/5/5e/Kalimantan2.png/640px-Kalimantan2.png)