Makaku ni wanyama wa jenasi Cercocebus, Lophocebus, Macaca na Rungwecebus katika familia Cercopithecidae. Wanatokea Afrika na Asia.
Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi, Ngazi za chini ...
Kaku |
Kaku utosi-mwekundu |
Uainishaji wa kisayansi |
Domeni: |
Eukaryota (Viumbe walio na seli zenye kiini)
|
Himaya: |
Animalia (Wanyama)
|
Faila: |
Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
|
Ngeli: |
Mamalia (Wanyama wenye viwele wanaonyonyesha wadogo wao)
|
Oda: |
Primates (Wanyama wanaofanana kiasi na binadamu)
|
Nusuoda: |
Haplorrhini (Wanyama wanaofanana zaidi na kima)
|
Oda ya chini: |
Simiiformes (Wanyama kama kima)
|
Familia ya juu: |
Cercopithecoidea
|
Familia: |
Cercopithecidae
|
Nusufamilia: |
Cercopithecinae (Wanyama walio na mnasaba na kima)
|
Kabila: |
Papionini (Wanyama walio na mnasaba na nyani)
|
|
Ngazi za chini |
Jenasi 4 za makaku:
|
Funga