Kima ni wanyama wa kabila Cercopithecini katika familia Cercopithecidae. Spishi za jenasi Chlorocebus huitwa ngedere au tumbili kwa kawaida. Wanatokea Afrika chini ya Sahara, lakini spishi kadhaa zimewasilishwa katika sehemu nyingine za dunia.
Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi ...
Funga
- Allenopithecus nigroviridis, Kima wa Allen (Allen´s Swamp Monkey)
- Cercopithecus albogularis, Kima Koo-jeupe (Sykes's Monkey)
- Cercopithecus ascanius, Kima Mkia-mwekundu (Red-tailed Monkey)
- Cercopithecus campbelli, Kima wa Campbell (Campbell´s Mona Monkey)
- Cercopithecus cephus, Kima Masharubu (Moustached Guenon)
- Cercopithecus denti, Kima wa Dent (Dent's Mona monkey)
- Cercopithecus diana, Kima wa Diana (Diana Monkey)
- Cercopithecus doggetti, Kima Fedha (Silver Monkey)
- Cercopithecus dryas, Kima wa Kongo (Dryas au Salongo Monkey au Ntolu)
- Cercopithecus erythrogaster, Kima Tumbo-jekundu (White-throated Guenon)
- Cercopithecus erythrotis, Kima Masikio-mekundu (Red-eared Guenon)
- Cercopithecus hamlyni, Kima Uso-bundi (Hamlyn's au Owl-faced Monkey)
- Cercopithecus kandti, Kima Mgongo-dhahabu (Golden Monkey)
- Cercopithecus lhoesti, Kima wa L'Hoest (L'Hoest's Monkey)
- Cercopithecus lomamiensis, Kima Lesula (Lesula)
- Cercopithecus lowei, Kima wa Lowe (Lowe´s Mona monkey)
- Cercopithecus mitis, Kima Buluu (Blue Monkey)
- Cercopithecus mona, Kima wa Mona (Mona Monkey)
- Cercopithecus neglectus, Karasinga (De Brazza's Monkey)
- Cercopithecus nictitans, Kima Pua-nyeupe au Kima Puti (Greater Spot-nosed au Putty-nosed Monkey)
- Cercopithecus petaurista, Kima Pua-doa (Lesser Spot-nosed Monkey)
- Cercopithecus pogonias, Kima Ushungi (Crested Mona monkey)
- Cercopithecus preussi, Kima wa Preuss (Preuss's Monkey)
- Cercopithecus roloway, Kima wa Roloway (Roloway Monkey)
- Cercopithecus sclateri, Kima wa Sclater (Sclater's Guenon)
- Cercopithecus solatus, Kima Matako-madoa (Sun-tailed Monkey)
- Cercopithecus wolfi, Kima wa Wolf (Wolf's Mona monkey)
- Chlorocebus aethiops, Ngedere Habeshi (Grivet)
- Chlorocebus cynosuros, Ngedere wa Kongo (Malbrouck Monkey)
- Chlorocebus djamdjamensis, Ngedere wa Bale (Bale Monkey)
- Chlorocebus pygerythrus, Ngedere Mashariki (Vervet)
- Chlorocebus sabaeus, Ngedere Magharibi (Green Monkey)
- Chlorocebus tantalus, Ngedere wa Afrika wa Kati (Tantalus Monkey)
- Erythrocebus patas, Kima Mwekundu (Patas Monkey)
- Erythrocebus poliophaeus, Kima Mwekundu wa Naili Buluu (Blue Nile Patas Monkey)
- Miopithecus ogouensis, Kima wa Gaboni (Gabon Talapoin)
- Miopithecus talapoin, Kima wa Angola (Angolan Talapoin)
Kima wa Allen
Kima koo-jeupe
Kima mkia-mwekundu
Kima masharubu
Kima wa Diana
Kima uso-bundi
Kima buluu
Karasinga
Kima pua-doa
Kima ushungi
Kima wa Roloway
Kima wa Wolf
Ngedere Habeshi
Ngedere mashariki
Ngedere magharibi
Kima mwekundu
Kima wa Gabon
Ili kupata maelezo kuhusu masanduku ya uanapwa ya spishi angalia: Wikipedia:WikiProject Mammals/Article templates/doc.