Jangwa la Gobi

From Wikipedia, the free encyclopedia

Jangwa la Gobimap

Jangwa la Gobi (kwa Kiingereza: Gobi Desert; kwa lugha ya Mandarin linaitwa Gobi, 戈壁, yaani brushland) ni jangwa kubwa la Asia[1] likienea kwa kilomita mraba 1,295,000[2].

Thumb
Ramani ya jangwa la Gobi.

Linaenea kaskazini mwa China na kusini mwa Mongolia, kusini kwa milima ya Altai.

Sababu yake ni kwamba nyanda za juu za Tibet huzuia mvua kutoka Bahari ya Hindi zisifike hadi Gobi.

Katika historia ni maarufu kama sehemu ya Dola la Mongolia na mahali pa miji muhimu ya Silk Road.

Tanbihi

Marejeo

Marejeo mengine

Viungo vya nje

Wikiwand in your browser!

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.

Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.