Jangwa la Gobi
From Wikipedia, the free encyclopedia
Jangwa la Gobi (kwa Kiingereza: Gobi Desert; kwa lugha ya Mandarin linaitwa Gobi, 戈壁, yaani brushland) ni jangwa kubwa la Asia[1] likienea kwa kilomita mraba 1,295,000[2].
Linaenea kaskazini mwa China na kusini mwa Mongolia, kusini kwa milima ya Altai.
Sababu yake ni kwamba nyanda za juu za Tibet huzuia mvua kutoka Bahari ya Hindi zisifike hadi Gobi.
Katika historia ni maarufu kama sehemu ya Dola la Mongolia na mahali pa miji muhimu ya Silk Road.
Tanbihi
Marejeo
Marejeo mengine
Viungo vya nje
Wikiwand in your browser!
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.